SELECTION ZA FORM FIVE NA VYUO VYA KATI 2024 BONYEZA HAPA


MSIMAMO NBC PREMIER LEAGUE 2023/24 BONYEZA HAPA


RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2023/2024 BONYEZA HAPA


JINSI YA KUANGALIA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA FORM FIVE 2024 BONYEZA HAPA


PATA AJIRA MBALIMBALI KILA SIKU BONYEZA HAPA


TETESI Za Usajili Simba SC 2024/2025

Filed in Usajili, Michezo by on 11/05/2024 0 Comments

TETESI Za Usajili Simba SC 2024/2025

TETESI Za Usajili Simba SC 2024/2025, Tetesi Za Usajili Simba Dirisha Kubwa la Usajili 2024/2025, Usajili Simba 2024,Tetesi za Usajili Simba Dirisha Kubwa, Tetesi za Usajili Simba Leo,Tetesi za Usajili Tanzania,Usajili simba dirisha kubwa, Mwanaspoti tetesi za usajili leo,Usajili simba mwanaspoti,Tetesi za Usajili Simba SC Dirisha Kubwa la usajili 2024.

TETESI Za Usajili Simba SC 2024/2025

TETESI Za Usajili Simba SC 2024/2025, Tetesi Za Usajili Simba Dirisha Kubwa la Usajili 2024/2025, Usajili Simba 2024,Tetesi za Usajili Simba Dirisha Kubwa la usajili 2024/2024.

Inaelezwa kuwa Klabu ya Simba SC ipo kwenye mipango ya kumsajili Mshambuliaji, Agostinho Cristóvão Paciência maarufu ‘Mabululu’ raia wa Angola kutoka Al Ittihad Alexandria ya Misri.

Mabululu mwenye umri wa miaka 31 amefunga magoli jumla ya mabao 10 kwenye mechi 16 za Egyptian Premier League msimu huu.

Ousmane Fernandez Drame Simba SC, Mohamed Damaro Camara Simba SC.Klabu ya Simba imetajwa kuwa ipo mbioni kuwasajili Wachezaji wawili wa Hafia FC ya Guinea, Mohamed Damaro Camara mwenye miaka 21 na Ousmane Fernandez ‘Drame’ mwenye umri wa miaka 23.

Wachezaji hao wanatajwa kuja kuchukua nafasi ya Sadio Kanoute anayedaiwa kuomba kuondoka mwishoni mwa msimu pamoja na Fabrice Ngoma.

Usajili huo umetajwa ni kwaajili ya kuimarisha eneo la kiungo, ambapo Camara anacheza nafasi ya kiungo mkabaji, huku Drame akiwa na uwezo wa kucheza namba sita pamoja na namba nane.

Fiston Kalala Mayele Simba SC

Fiston Kalala Mayele Simba SC

Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ Kupitia A-fm Radio amesema kuwa wametuma maombi kwenye Klabu ya Pyramids FC ya nchini Misri ya kumpata Kwa Mkopo aliyekuwa Mshambuliaji wa Young Africans Fiston Kalala Mayele.

Klabu ya Simba imefikia Makubaliano ya kumnunua beki wa kati, Lameck Lawi kutoka Klabu yake ya Coastal Union ya Tanga.

Uongozi wa klabu ya Simba umepanga kupiga hodi kwenye klabu ya Azam kwaajili ya kuangalia uwezekano wa kumsajili kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Ayoub Lyanga, imefahamika.

Mkataba wa Lyanga na Azam unafikia mwishoni mwa msimu huu na tayari mabosi wa Azam wameanzisha mazungumzo ya kumuongezea mkataba licha ya Simba nao kuweka dau lao mezani kwa nyota huyo.

About Nijuze Habari Blog

About Nijuze Habari, About Nijuze Habari 24,Nijuze Habari -| Pata Habari zote za Michezo na Usajili, Magazeti, Ratiba na Matokeo na Nafasi Mpya za Ajira.

About Nijuze Habari

About Nijuze Habari Blog, About Nijuze Habari, About Nijuze Habari 24,Nijuze Habari -| Pata Habari zote za Michezo na Usajili, Magazeti, Ratiba na Matokeo na Nafasi Mpya za Ajira, Nijuze Habari 24, Nijuze Habari Ajira, Nijuze Habari Michezo, Nijuze Habari Magazeti, Nijuze Habari Matokeo, Nijuze Habari Ratiba.

Nijuze Habari ni Blog ya Kiswahili Maarufu Duniani kwa Habari za Magazeti, Habari za Michezo, Nafasi za Ajira Mpya na Tetesi za Usajili.

Nijuze Habari inakuletea Nafasi za Kazi kila siku, Makala Mbali mbali Pamoja na Kutazama Ratiba na Matokeo ya Ligi zote Duniani, Matokeo ya EPL, Matokeo ya Bundesliga, Matokeo ya Seria A, Matokeo ya La Liga, Matokeo ya League 1, Matokeo ya NBC Premier League.

Nijuze Habari inakuwezesha kutazama Matokeo ya moja kwa moja (LIVE Updates) wakati mechi zinaendelea za Simba na Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC na kwenye michezo ya CAF pamoja na Michezo mingine itakayoshiriki

Nijuze Habari pia inakuleta Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Wafungaji Bora, Makipa Bora, Wachezaji Bora, Vikosi vya Simba na Yanga, ratiba za Simba, Yanga na Azam FC, Matokeo ya Simba SC, Matokeo ya Yanga, ratiba ya Bundesliga, ratiba ya EPL, ratiba ya Seria A, ratiba ya League 1, ratiba ya La Liga.

About Nijuze Habari Blog

Nijuze Habari pia inakuletea Matokeo ya NECTA Tanzania na Zanzibar, Yanayojiri Magazetini Kila Siku, Habari Kubwa za Magazeti Pamoja Vichwa vya Habari za Magazeti.

Matokeo ya NECTA Darasa la Nne, Matokeo ya NECTA Darasa la Saba, Matokeo ya NECTA Kidato cha Kwanza, Matokeo ya NECTA Kidato cha Nne, Matokeo ya NECTA ya Form 6 na Nyuo Mbali Mbali, Pamoja Waliochaguliwa kujiunga na Kidato Cha Kwanza na Kidato Cha Tano.

Pia Nijuze Habari inakuletea taarifa zote Bodi ya Mikopo ya Elimu Juu HESLB, Nafasi za Ajira zinazotangazwa kila Siku na Taasisi Mbalimbali kama Ajiraportal na Makampuni Mbalimbali, Wanaoitwa Kazini kila siku na Wanaoitwa kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali za Serikalini na Makampuni kila Siku, Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

KUPATA NIDA BURE BONYEZA HAPA

KUOMBA LESENI YA BIASHARA BONYEZA HAPA

KUPATA TIN NUMBER BURE BONYEZA HAPA

KUOMBA LOSS REPORT BURE BONYEZA HAPA

Tags: , , , , , , , , ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *