RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


INEC Walioitwa kwenye Usaili Itigi District Council

Filed in Ajira by on 02/09/2024 0 Comments
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

INEC Walioitwa kwenye Usaili Itigi District Council

INEC Walioitwa kwenye Usaili Itigi District Council

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Manyoni Magharibi anapenda kuwajulisha, wafuatao
wameitwa kwenye usaili wa Nafasi za Waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya
BVR KIT (OPERATOR) katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura
utakaofanyika kwa siku mbili katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Itigi kuanzia tarehe
04/09/2024 hadi 06/09/2024 kama inavyoonekana hapa chini.

KUNDI A:
Kata za: Itigi Mjini, Itigi Majengo,Tambukareli, Sanjaranda, Kitaraka, Ipande, Aghondi
na Idodyandole Waombaji kutoka Kata tajwa hapo juu wanatikiwa kufika tarehe 04/09/2024 saa 2:00 Asubuhi katika ukumbi wa Shule ya Itigi Sekondari kwa ajili ya Usaili

KUNDI B:
Rungwa, Mwamagembe, Kalangali, Mitundu na Mgandu Waombaji kutoka Kata tajwa hapo juu wanatakiwa kufika tarehe 06/09/2024 saa 2:00
Asubuhi katika ukumbi wa Ofisi ya Kijiji Mitundu kwa ajili ya Usaili.

Kuona Orodha ya Majina tafadhali Donwload PDF hapa chini;

DONWLOAD PDF KUITWA KWENYE USAILI INEC JIMBO LA MANYONI

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *