RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


INEC Walioitwa kwenye Usaili Singida Municipal Council

Filed in Ajira by on 02/09/2024 0 Comments
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

INEC Walioitwa kwenye Usaili Singida Municipal Council

INEC Walioitwa kwenye Usaili Singida Municipal Council

Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Singida Mjini kwa kuzingatia Kanuni ya 12 ya Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za mwaka 2024, anawatangazia wafuatao kuwa wameitwa kwenye usaili wa nafasi za Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Biometriki (BVR) kwaajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura.

Aidha, Usaili huo utafanyika kuanzia tarehe 05-06 Septemba, 2024 katika Kumbi mbili tofauti (Ukumbi wa Mwenge Sekondari na Ukumbi wa Manispaa) Kila Msailiwa akumbuke yafuatayo;

  • Kuja na vyeti vyake halisi vilivyotumika kwenye maombi ya kazi
  • Kuja na Kitambulisho chenye picha (passport size)
  • Msailiwa atajigharamia kwa chakula na malazi.
  • Msailiwa akumbuke tarehe na Ukumbi aliopangiwa kufanyia Usaili.
  • Usaili utaanza saa mbili kamili asubuhi.

Orodha ya majina ya wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili ikionesha tarehe na ukumbi aliopangiwa kila mwombaji msailiwa imeambatanishwa kwenye PDF hapa chini;

DONWLOAD PDF YA MAJINA KUITWA KWENYE USAILI INEC JIMBO LA SINGIDA MJINI

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *