RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


NAFASI za Kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA 2024/2025

Filed in Ajira by on 14/07/2024
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

NAFASI za Kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA 2024/2025

NAFASI za Kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA 2024/2025

NAFASI za Kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA 2024/2025

NAFASI za Kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA 2024/2025, NAFASI za Kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi Kwa Kozi za Muda Mrefu Katika Vyuo Vya VETA, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inakaribisha maombi ya kujiunga na Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi kwa mwaka wa masomo 2025 kwenye vyuo vinavyomilikiwa na VETA.

KIPINDI CHA UCHUKUAJI NA URUDISHAJI FOMU

Fomu zitatolewa kuanzia leo tarehe 4 Julai 2024 na mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 30 Septemba 2024.

Mtihani wa kujiunga na chuo utafanyika tarehe 2 Oktoba, 2024 saa 2:30 Asubuhi. Masomo yataanza Januari, 2025.

SIFA ZA KUJIUNGA

  • Umri kuanzia miaka 15 na kuendelea; na
  • Kuanzia ngazi ya elimu ya msingi

UPATIKANAJI WA FOMU

  • Fomu zinapatikana katika vyuo vyote vya VETA na kwenye tovuti: www.veta.go.tz.
  • Siku ya kurudisha fomu, mwombaji atalipia kiasi cha Tshs 5,000 (Elfu Tano tu).

KARIBU UJIUNGE NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI.

KWA MAELEZO NA UFAFANUZI ZAIDI, WASILIANA NASI:
VETA Makao Makuu,
12 Barabara ya VETA, 41104 Tambukareli,
S. L. P. 802, Dodoma
Barua pepe: info@veta.go.tz au pr@veta.go.tz
Simu: +255 26 2963661
Simu ya mkononi: 0755267489

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags:

Comments (1)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Naomba kutangaza biashara na nyi