RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


TFF Yafanya Mabadiliko Utolewaji wa Tuzo za Ligi Kuu

Filed in Michezo by on 29/05/2024
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

TFF Yafanya Mabadiliko Utolewaji wa Tuzo za Ligi Kuu

TFF Yafanya Mabadiliko Utolewaji wa Tuzo za Ligi Kuu

TFF Yafanya Mabadiliko Utolewaji wa Tuzo za Ligi Kuu

TFF Yafanya Mabadiliko Utolewaji wa Tuzo za Ligi Kuu,Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) sasa zitakuwa zikifanyika wakati wa michezo ya Ngao ya Jamii.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Afisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Ndimbo imeeleeza kuwa lengo la mabadiliko ya hafla hizo za kuwatuza Wachezaji Bora, ni kufanya Maboresho ya kulifanya tukio hilo kuwa bora zaidi kukidhi malengo na mahitaji yake.

Kwa mabadiliko hayo, hafla ya tuzo za TFF kwa msimu wa 2023/2024 itafanyika wakati wa mchezo wa Ngao ya Jamii kufungua msimu wa 2024/2025.

Tuzo za TFF ni tukio la kuwazawadia wanamichezo waliofanya vizuri katika mashindano yanayoandaliwa na TFF kupitia Bodi ya Ligi (TPLB) na matukio mengine rasmi yenye kuambatana na mpira wa miguu hapa nchini.

Tuzo za Ligi Kuu kutolewa kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii

Tuzo za Ligi Kuu kutolewa kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags:

Comments are closed.