RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


MAJINA ya Waajiliwa wapya wa Mkataba kada za Afya January 2024

Filed in Michezo, Ajira, TAMISEMI by on 27/01/2024
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

MAJINA ya Waajiliwa wapya wa Mkataba kada za Afya January 2024

MAJINA ya Waajiliwa wapya wa Mkataba kada za Afya January 2024, Tangazo la kuitwa kazini waajiliwa  wapya wa mkataba kada za Afya  kupitia Mradi wa TMCHIP,ajira za afya 2023/2024, Majina Ya walioajiriwa kada ya Afya 2024, Ajira Wizara ya Afya 2024 PDF,Majina ya walioitwa kazini 2024.

MAJINA ya Waajiliwa wapya wa Mkataba kada za Afya January 2024

MAJINA ya Waajiliwa wapya wa Mkataba kada za Afya January 2024, Tangazo la kuitwa kazini waajiliwa  wapya wa mkataba kada za Afya  kupitia Mradi wa TMCHIP,ajira za afya 2023/2024, Majina Ya walioajiriwa kada ya Afya 2024, Ajira Wizara ya Afya 2024 PDF,Majina ya walioitwa kazini 2024.

Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya waliowasilisha maombi katika kipindi cha mwezi wa April, 2023 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi
umekamilika kwa awamu ya tatu.

Awamu hii ni kwaajili ya kujaza nafasi wazi za Watumishi waliokosa ajira awamu zote 2 za awali, Ikumbukwe kuwa Ajira hizi ni za Mkataba ya miaka miwili (2).

Hivyo wataalamu wote watakaojiriwa katika awamu hii wataingia mikataba na Wakurugenzi wa Halmashauri husika.

Mwezi Aprili, 2023 Ofisi ya Rais – TAMISEMI ilipata kibali cha ajira ya watumishi 8,070 wa kada mbalimbali za Afya. Nafasi ambazo zilipata waombaji wa kutosha na kupelekea kubaki kwa baadhi ya waombaji wenye sifa katika kanzi data ya OR TAMISEMI, kutokana na maombi kuzidi idadi ya kibali.

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya imefanikiwa kutumia kanzi data ya waombaji wenye sifa waliokuwa
wamebaki katika mfumo na kuwapangia vituo vya kazi watumishi 275 katika
Halmashauri mbalimbali.

Ieleweke kwamba ajira hizi ni za Mkataba kati ya Halmashauri
husika na mtaalamu husika.

MAJINA ya Waajiliwa wapya wa Mkataba kada za Afya January 2024, Tangazo la kuitwa kazini waajiliwa  wapya wa mkataba kada za Afya  kupitia Mradi wa TMCHIP,ajira za afya 2023/2024, Majina Ya walioajiriwa kada ya Afya 2024, Ajira Wizara ya Afya 2024 PDF,Majina ya walioitwa kazini 2024.Mkataba huu utasimamiwa na OR TAMISEMI wakati wa utekelezaji wa Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto yaani Tanzania
Martenity and Child Health Investment program (TMCHIP) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.

Gharama za malipo ya mishahara zitazingatia taratibu za ajira Serikalini.

Waombaji wote waliopata nafasi wanatakiwa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

  • Kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa katika muda wa siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya tangazo hili.
  • Aidha, waombaji watakaoshindwa kuripoti kwenye vituo vya kazi ndani ya siku kumi na nne (14) nafasi zao zitajazwa na waombaji wengine haraka iwezekanavyo.
  • Kuwasilisha Vyeti Halisi (Original Certificates) vya Kidato cha Nne, Sita, Chuo Kikuu, NACTE na vyeti halisi vya usajili wa mabaraza ya kitaaluma kwaajili ya kuhakikiwa na mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira.
  • Waombaji waliopata nafasi za ajira watakaoripoti bila ya kuwa na Vyeti Halisi (Original Certificates) vya Kidato cha Nne, Kidato Sita, Chuo Kikuu, NACTE na vyeti halisi vya usajili wa mabaraza ya kitaaluma hawatapokelewa.
  • Waombaji waliopata nafasi za ajira wanajulishwa kuwa hakutakuwa na nafasi ya kubadilisha vituo vya kazi walivyopangiwa.
  • Waombaji wote ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili, watambue kuwa hawakupata nafasi hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi
    zitakapotangazwa.
  • Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wanaelekezwa kuwapokea, kuhakiki vyeti, Kuandaa na kuingia Mikataba ya ajira na wataalamu waliopangwa na kuwafanyia mafunzo elekezi (Induction Course) kabla ya kuwapangia vituo vya kazi.

Orodha ya majina ya waombaji waliopangiwa vituo vya kazi inapatikana kupitia tovuti ya OR-TAMISEMI www.tamisemi.go.tz au Kwa kudownload PDF HAPA.

Tangazo la Ajira kada za Afya (Replacement) Januari 2024

Kuona orodha bofya hapa

Tangazo la kuitwa kazini waajiliwa  wapya wa mkataba kada za Afya  kupitia Mradi wa TMCHIP

Kuona orodha bofya hapa

Limetolewa na:
Katibu Mkuu,
Ofisi ya Rais – TAMISEMI,
Mji wa Serikali – Mtumba,
S.L.P. 1923,
DODOMA.
26 Januari, 2024

Majina ya walioitwa kazini TAMISEMI 2024 TAMISEMI Ajira za Afya 2024, Tangazo la Ajira TAMISEMI 2024 PDF, TAMISEMI news today ajira, www.ajira.tamisemi.go.tz2024 Wizara ya Afya Ajira, Tangazo la Ajira TAMISEMI september 2024, Ajira kada ya afya.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags: , , , , ,

Comments are closed.