RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


EDUCATION

TCU Majina 55,635 ya Waliochaguliwa Chuo zaidi ya Kimoja PDF

Filed in EDUCATION by on 03/09/2024 0 Comments
TCU Majina 55,635 ya Waliochaguliwa Chuo zaidi ya Kimoja PDF
SHARE THIS POST:

TCU Orodha ya Majina Waliochaguliwa Chuo zaidi ya Kimoja au Programu 2024, TCU Multiple Selection 2024 Round One. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ndiyo inasimamia mchakato wa udahili kwa vyuo vya elimu ya juu nchini Tanzania. Kwa mwaka wa masomo 2024/2025, TCU imetekeleza mfumo wa chaguzi nyingi ili kuchukua wanafunzi ambao wamekubaliwa katika taasisi […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

HESBL Maswali Yanayoulizwa Mara Kwa Mara 2024/2025

Filed in EDUCATION by on 31/08/2024 0 Comments
HESBL Maswali Yanayoulizwa Mara Kwa Mara 2024/2025
SHARE THIS POST:

HESBL Maswali Yanayoulizwa Mara Kwa Mara 2024/2025, Maswali 25 pamoja na majibu yake yameandaliwa kumwezesha mwombaji, mzazi, mlezi au mtoa huduma kwa mwanafunzi kuelewa kwa lugha rahisi utaratibu, sifa na vigezo vitakavyotumika katika upangaji mikopo kwa mwaka 2024/2025. Ingawa Maswali na Majibu haya yamebeba maudhui ya miongozo iliyotolewa, waombaji mikopo na ruzuku kwa ngazi ya […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

HESBL Yaongeza Muda wa Maombi ya Mikopo 2024/2025

Filed in EDUCATION by on 31/08/2024 0 Comments
HESBL Yaongeza Muda wa Maombi ya Mikopo 2024/2025
SHARE THIS POST:

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESBL) inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 14 Septemba, 2024. Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliokuwa umepangwa. Itakumbukwa kuwa, […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

HESBL Taarifa Muhimu kwa Wanafunzi wa Stashahada (Diploma)

Filed in EDUCATION by on 31/08/2024 0 Comments
HESBL Taarifa Muhimu kwa Wanafunzi wa Stashahada (Diploma)
SHARE THIS POST:

Bodi ya Mikopo HESLB imesema kuwa kuanzia mwaka wa masomo 2023/2024 Serikali ilianza kutoka mikopo kwa wanafunzi wenye sifa wanasoma stashahada (Diploma) za kipaumbele kwa Taifa ambazo zinatajwa kwa kina katika ‘Mwongozo wa Utoaji Mikopo kwa Stashahada kwa 2024/2025’ unaopatikana katika www.heslb.go.tz; Hivyo, katika mwaka wa masomo 2024/2025 unaotarajiwa kuanza mwezi Oktoba, 2024, wanafunzi wenye […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

Selection za Form Five na Vyuo PDF 2024/2025 awamu ya Tatu

Filed in EDUCATION by on 29/08/2024
Selection za Form Five na Vyuo PDF 2024/2025 awamu ya Tatu
SHARE THIS POST:

ORODHA YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO WALIOBADILISHIWA KUTOKA VYUO VYA KILIMO NA KUPANGIWA SHULE/ CHUO MWAKA, 2024. BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

MWONGOZO wa Kitaifa wa Uendeshaji na Viwango Elimu ya Awali

Filed in EDUCATION by on 28/08/2024
MWONGOZO wa Kitaifa wa Uendeshaji na Viwango Elimu ya Awali
SHARE THIS POST:

MWONGOZO WA KITAIFA WA UENDESHAJI NA VIWANGO KATIKA ELIMU YA AWALI TANZANIA BARA MWONGOZO WA KITAIFA WA UENDESHAJI NA VIWANGO KATIKA ELIMU YA AWALI TANZANIA BARA PDF

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

FOMU za Kujiunga na Mafunzo ya Ualimu 2024/25

Filed in EDUCATION by on 27/08/2024
FOMU za Kujiunga na Mafunzo ya Ualimu 2024/25
SHARE THIS POST:

FOMU za Kujiunga na Mafunzo ya Ualimu 2024/25,Joining Instructions Vyuo vya Ualimu 2024/2025,Joining Instructions Vyuo vya Ualimu 2024/25. FOMU ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UALIMU KWA MWAKA WA MASOMO 2024/25. MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA CHUO (JOINING INSTRUCTION) 2024/2025. Uongozi wa chuo unafurahi kukuarifu kuwa umechaguliwa kujiunga na kozi ya Stashahada ya […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

FOMU ya Maombi ya Tuzo ya Ubora wa Utafiti 2023/2024

Filed in EDUCATION by on 24/08/2024
FOMU ya Maombi ya Tuzo ya Ubora wa Utafiti 2023/2024
SHARE THIS POST:

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (MoEST) inatangaza maombi ya Tuzo ya Ubora wa Utafiti inayokusudiwa Mtanzania Watafiti/ Wanasayansi wa Taasisi ya Elimu ya Juu wanaochapisha kazi za kitaaluma katika majarida maarufu ya High Impact Factor. Tuzo hii itatolewa kwa Watafiti/ Wanasayansi wa Taasisi ya Elimu ya Juu Tanzania ambao wamechapisha kazi zao […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

MOEST Maombi ya Tuzo ya Ubora wa Utafiti 2023/2024

Filed in EDUCATION by on 24/08/2024
MOEST Maombi ya Tuzo ya Ubora wa Utafiti 2023/2024
SHARE THIS POST:

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (MoEST) imetangaza maombi ya Utafiti Tuzo la Ubora kwa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Tanzania Watafiti/Wanasayansi wanaochapisha kazi za kitaaluma katika Athari za Juu zinazoheshimika Factor Journals. Tuzo la Ubora wa Utafiti linajitahidi kuongeza uwezo wa utafiti wa watafiti wa ndani/wanasayansi, kuhimiza uvumbuzi wa ndani na […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »

FURSA ya Ufadhili wa Masomo kwa Wanachuo wa Stashahada ya Ualimu Elimu Maalumu 2024/2025

Filed in EDUCATION by on 24/08/2024
FURSA ya Ufadhili wa Masomo kwa Wanachuo wa Stashahada ya Ualimu Elimu Maalumu 2024/2025
SHARE THIS POST:

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza fursa ya Ufadhili wa Masomo ngazi ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu Maalumu. Maombi yanakaribishwa kwa wanachuo wanaosoma, Stashahada ya Elimu maalumua katika maeneo yafuatayo: Ulemavu wa Akili Usonji Uziwi Uziwi Kutoona na Ulemavu wa Uoni. SIFA ZA KUPATA UFADHILI Ufadhili huu utatolewa kwa wanafunzi wenye sifa zifuatazo: […]

SHARE THIS POST:

Continue Reading »