RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


MAJINA ya Waliotwa Kazini Taasisi Mbalimbali za UMMA 01-02-2024

Filed in Ajira, Michezo by on 02/02/2024
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

MAJINA ya Waliotwa Kazini Taasisi Mbalimbali za UMMA 01-02-2024

MAJINA ya Waliotwa Kazini Taasisi Mbalimbali za UMMA 01-02-2024, Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Umma 01-02-2024, Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Serikali February 01-2024,Majina ya walioitwa kazini UTUMISHI, Ajira portal, Sekretarieti ya ajira.

MAJINA ya Waliotwa Kazini Taasisi Mbalimbali za UMMA 01-02-2024

MAJINA ya Waliotwa Kazini Taasisi Mbalimbali za UMMA 01-02-2024, Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Umma 01-02-2024, Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Serikali February 01-2024,Majina ya walioitwa kazini UTUMISHI, Ajira portal, Sekretarieti ya ajira.

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 04-12-2022 na tarehe 14-12-2023
kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili.

Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye
kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

MAJINA ya Waliotwa Kazini Taasisi Mbalimbali za UMMA 01-02-2024, Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Umma 01-02-2024, Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Serikali February 01-2024,Majina ya walioitwa kazini UTUMISHI, Ajira portal, Sekretarieti ya ajira.

MAJINA ya Waliotwa Kazini Taasisi Mbalimbali za UMMA 01-02-2024

Waombaji waliofaulu usaili wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwenye Majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Masjala ya wazi ndani ya siku
saba kutoka tarehe ya tangazo hili na baada ya hapo barua ambazo hazitachukuliwa na wahusika zitatumwa kupitia anuani zao za Posta.

Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira.

Kwa wale ambao majina yao hayapo
katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.

MAJINA YA WALIOITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 01-02-2024 DONWLOAD PDF

Majina ya walioitwa kazini UTUMISHI, Ajira portal, Sekretarieti ya ajira, Ajira portal login,Majina ya walioitwa kazini TAMISEMI, Ajira portal news, Majina ya walioitwa kazini 2024, Call for Interview Ajira Portal, AJIRA LEO, Public Service Recruitment Portal, Ajira portal Vacancies, AJIRA Tanzania.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags: , , , , ,

Comments are closed.