RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


RATIBA ya Mechi za Leo Jumanne April 16-2024

Filed in Michezo by on 16/04/2024
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

RATIBA ya Mechi za Leo Jumanne April 16-2024

RATIBA ya Mechi za Leo Jumanne April 16-2024,Ratiba ya michezo ya leo Jumanne tarehe 16 April 2024, Ratiba ya Mechi za Simba leo, Ratiba ya Mechi za Yanga leo, ratiba za ligi kuu tanzania Bara 2023/2024, Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League,Ratiba ya Mechi za Leo 16 April 2024.

RATIBA ya Mechi za Leo Jumanne April 16-2024

RATIBA ya Mechi za Leo Jumanne April 16-2024,Ratiba ya michezo ya leo Jumanne tarehe 16 April 2024, Ratiba ya Mechi za Simba leo, Ratiba ya Mechi za Yanga leo, ratiba za ligi kuu tanzania Bara 2023/2024, Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League,Ratiba ya Mechi za Leo 16 April 2024.

👉Tanzania – NBC Premier League
16:00 Mtibwa Sugar vs KMC FC
19:00 Dodoma Jiji vs JKT Tanzania

👉UEFA Champions League – Quarter-finals
22:00 Barcelona vs Paris Saint-Germain
22:00 Borussia Dortmund vs Atletico Madrid

👉England – Championship
22:00 Southampton vs Preston North End

👉England – League 1
21:45 Bolton Wanderers vs Shrewsbury Town
21:45 Bristol Rovers vs Cambridge United
21:45 Burton Albion vs Cheltenham Town
21:45 Oxford United vs Lincoln City
21:45 Peterborough
United vs Fleetwood Town
21:45 Port Vale vs Wycombe Wanderers
21:45 Portsmouth vs Barnsley

👉Portugal – Primeira Liga
22:15 Famalicao vs Sporting CP

👉Asia – Champions League Semi-Finals
19:00 Al-Ain vs Al Hilal

👉Australia – A-league
12:00 Western United FC vs Adelaide United

👉Algeria – Ligue 1
20:00 CR Belouizdad vs Paradou AC
20:00 JS Kabylie vs MC Oran

👉Algeria – Algerian Cup
22:30 USM Alger vs US Biskra

👉Nigeria – NPFL
17:00 Gombe United vs Kwara United
17:00 Sporting Lagos vs Sunshine Stars
17:30 Enyimba vs Heartland Owerri
18:00nEnugu Rangers vs Abia Warriors
19:30 Akwa United vs Niger Tornadoes
19:30 Bayelsa United vs Katsina United
19:30 Bendel Insurance vs Kano Pillars
19:30 Rivers United FC vs Plateau United
19:30 Shooting Stars vs
Lobi Stars

👉Qatar – Qatar Stars League
18:30 Al-Shamal vs Al-Wakra
20:30 Al Markhiya vs Al-Gharafa

👉Saudi Arabia – 1st Division
19:05 Al Batin vs Al Adall
19:05 Al Kholood vs Ohod
20:45 Jeddah vs Al Qadasiya

👉Uganda – Premier League
16:00 UPDF FC vs Gadaffi FC
16:00 URA FC vs NEC FC

👉South Africa – 1st Division
16:00 JDR Stars vs Black Leopards
16:00 Magesi FC vs Hungry Lions FC
16:00 Milford FC vs Marumo Gallants
16:00 MM Platinum vs Baroka FC
20:30 Maritzburg United vs University of Pretoria

👉United Arab Emirates – Pro League
17:00 Ajman vs Al Bataeh
17:00 Al-Jazira vs Khorfakkan

HISTORIA ya Mpira wa Miguu

MPIRA wa Miguu Wikipedia,Historia ya Mpira wa Miguu,historia ya Mpira wa Soka,historia ya Mpira wa Kandanda, historia ya Mpira wa Kabumbu,Mpira wa miguu live, Mpira wa miguu pdf, Amri 10 za mpira wa miguu,Mpira wa miguu leo.

HISTORIA ya Mpira wa Miguu

HISTORIA ya Mpira wa Miguu, Mpira wa Miguu Wikipedia,Historia ya Mpira wa Miguu,historia ya Mpira wa Soka,historia ya Mpira wa Kandanda, historia ya Mpira wa Kabumbu,Mpira wa miguu live, Mpira wa miguu pdf, Amri 10 za mpira wa miguu,Mpira wa miguu leo.

Kuhusu Mpira wa Miguu.

Mpira wa Miguu, Soka au Kandanda ni Mchezo unaochezwa na jumla ya wachezaji ishirini na wawili katika timu mbili, kila timu ikiwa na wachezaji kumi na mmoja (11).

Mechi ya kandanda ya Angola dhidi ya Moroko mwaka 2013.

Lengo hasa la mchezo huu ni wachezaji kuumiliki mpira kwa kutumia miguu na kufunga goli, yaani kuuingiza mpira katika wavu wa wapinzani mara nyingi zaidi.

Matumizi ya mikono ni marufuku isipokuwa kwa mlinda mlango katika eneo maalumu na wakati wa kurudisha mpira baada ya kutoka nje ya uwanja.

Historia

Mchezaji wa mpira wa miguu, Ugiriki ya Kale.

Michezo mbalimbali ya kuchezea mpira inaweza kupatikana katika kila uwanja wa jiografia na historia.

Wachina, Wajapani, Wakorea na Waitalia, wote hao walikuwa wakicheza mpira zamani kabla ya enzi zetu.

Wagiriki na Waromania walitumia michezo hiyo kuwaandaa wapiganaji kabla ya vita.

Hata hivyo, ni nchini Uingereza ambapo umbo la soka la kisasa lilianza kulipuka.

Ilianza wakati mashirikisho mawili (Shirikisho la Mpira wa miguu na Mpira wa Ragbi) yalipotawanyika. Shirikisho la kwanza lilibakia Uingereza.

Mnamo Oktoba 1963, Vilabu 11 vya London vilituma wawakilishi katika mkutano wa Freemasons ili kujadili na kuweka kanuni zilizokubalika kusimamia mechi zilizochezwa kati yao.

Mkutano huu ulipelekea kuanzisha kwa Shirikisho la Kandanda (Football Association).

Miongoni mwa kanuni zilizowekwa ni zile za kukataa utumiaji wa mikono kushika mpira na kunyang’anyana kwa nguvu. Soka na Ragbi zilifarakana tarehe hiyo.

Miaka minane baada ya kuanzishwa, Shirikisho la Kandanda (FA) lilikuwa na wanachama 50. Shindano la kwanza la kandanda – Kombe la FA – lilianza mwaka huo, likifuatiwa na lile la Ligi ya Ubingwa miaka 17 baadaye.

Wachezaji wawili wa Klabu ya Darwin, John Dove na Fergus Suter walikuwa wa kwanza kulipwa kwa mchezo wao. Kitendo hiki kilikuwa mwanzo wa soka la kulipwa iliyohalalishwa mwaka wa 1885.

Mwamko huu ulipelekea kuanzishwa kwa Mashirikisho ya kitaifa nje ya Uingereza (Great Britain). Baada ya Shirikisho la Kandanda la Uingereza, Mashirikisho yaliyofuatia ni ya Uskoti (1873), Wales (1875) na Eire (1880).

Kutokana na ushawishi mkuu wa Uingereza katika mataifa ya dunia, soka ilisambaa kote duniani.

Mataifa mengine mengi yalianzisha Mashirikisho ya Kandanda kufikia 1904 wakati Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) lilipoanzishwa. Tangu hapo, kandanda ya kimataifa imekuwa ikikua licha ya vikwazo mbalimbali.

Kufikia 1912, FIFA ilikuwa na uanachama wa mashirikisho 21, idadi iliyoongezeka na kufikia 36 mwaka 1925.

Kufikia 1930 – mwaka ambapo kwa mara ya kwanza kulikuwa na mashindano ya Kombe La Dunia, FIFA ilikuwa na wanachama 41. Idadi hii ilizidi kuongezeka na kufika 51 mnamo 1938 na 76 kufikia 1950.

Baada ya Kongamano la FIFA la mwaka 2000, kulikuwa na wanachama 204 na idadi hii inazidi kukua kila mwaka.

HISTORIA ya Mpira wa Miguu

Mpira wa miguu ulianzia wapi,Mpira wa miguu mpila, Mpira wa miguu tanzania, Sheria 17 za mpira wa miguu, Mwanzilishi wa mpira wa miguu duniani, Historia ya mpira wa miguu, Namba za mpira wa miguu, Kanuni 10 za mpira wa miguu.

Kanuni

Maagizo ya Kandanda hupitiwa na kufanyiwa mabadiliko kila mwaka (Mwezi Julai) na Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA).

Uwanja

Vipimo vya uwanja wa soka.

Uwanja una umbo la mstatili. Hakuna kipimo kamili, ila kanuni zinasema urefu ni baina ya mita 90 na 120, upana baina ya mita 45 na 90. Kwa michezo ya kimataifa urefu uwe baina ya mita 100 – 110 na upana baina ya mita 64 na 75.

Goli ziko kwenye pande fupi zaidi. Kuna alama ya bendera kwenye kona za uwanja. Mwaka 2008 IFAB ilijaribu kusanifisha vipimo kuwa mita 105 kwa 68, lakini kanuni hii ilisimamishwa baadaye.

Mstari ni mpaka wa uwanja. Wakati mpira uko kwenye mstari hata kwa kiasi kidogo unahesabiwa bado uko ndani ya uwanja. Kwa goli kukubaliwa sharti mpira uwe umepita mstari wa goli kabisa.

Mpangilio wa wachezaji

Kuna wachezaji wa aina tatu: beki, kiungo na washambuliaji au straika na golikipa .Ni uamuzi wa kocha kuhusu idadi ya wachezaji wa kulinda lango, wa kiungo au wa mbele, ikitegemea mfumo uliotumika.Mfumo wa 4-4-2 umekuwa maarufu miongoni mwa timu nyingi. Mfumo huu hujumlisha walinzi wanne pamoja na mlinda lango, wachezaji wanne wa kiungo na wawili wa mbele. mshambuluaji lazima akawa mtu mwenye ujuzi mkubwa na mwenye nguvu za kushambulia.

Utunukizi wa Alama

Golikipa akiokoa mpira uliopigwa shuti ndani ya eneo la penati

Katika ligi za kitaifa na kimataifa, alama hutunukiwa kwa timu baada ya mchezo. Timu iliyoshinda hupewa alama tatu huku timu zilizotoka sare hupewa alama moja kila moja.

Ikiwa ni lazima mshindi apatikane, hasa kwenye mechi za fainali, mchezo huwa na muda wa ziada kama timu hizo ziko sare. Iwapo sare hiyo huendelea mchezo huamuliwa kwa mikwaju ya penalty.

Shirikisho la Kandanda Duniani

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ndilo shirikisho kuu linalosimamia kandanda duniani. Wanachama wake ni mashirikisho ya kandanda ya nchi mbalimbali.Kufikia mwaka wa 2000, lilikuwa na wanachama 204 kutoka pembe zote za dunia. Shirikisho hili huandaa mashindano mbalimbali ya soka kama vile Kombe la Dunia la FIFA na pia huwatunuku wachezaji.Sheria 17 za mpira wa miguu, Historia ya mpira wa miguu pdf, Historia ya mpira wa miguu tanzania, Mpira wa miguu ulianzia wapi, Mpira wa miguu leo, Historia ya mpira wa miguu kandanda, Mwanzilishi wa mpira wa miguu duniani, Amri 10 za mpira wa miguu, Namba za mpira wa miguu, Kanuni za mpira wa miguu, Picha ya mpira wa miguu, Mpira wa SIMBA, Unaandikaje historia ya soka?, Je historia ya soka ni ipi?, Nini asili ya mchezo wa mpira wa miguu?, Nani aligundua mpira wa miguu?.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags: , , , , , ,

Comments are closed.