RATIBA YA LIGI KUU YA NBC 2024/2025 TAZAMA HAPA


INEC RATIBA YA UBORESHAJI WAPIGA KURA 2024/2025 HAPA


INEC KUITWA KWENYE USAILI 2024/2025 TAZAMA HAPA


AJIRA MPYA KILA SIKU TAFADHALI BONYEZA HAPA


JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP HAPA


MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024

Filed in Ajira, Michezo by on 02/03/2024
SHARE THIS POST:

JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA WHATSAPP BOFYA HAPA

MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024

MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024, Orodha Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024, Majina ya walioitwa kwenye usaili takukuru march 2024 download Pdf, Majina ya walioitwa kwenye usaili takukuru march 2024.

MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024

MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024, Orodha Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024, Majina ya walioitwa kwenye usaili takukuru march 2024 download Pdf, Majina ya walioitwa kwenye usaili takukuru march 2024.

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) anapenda kuwatangazia waombaji wa nafasi za ajira waliopita mchujo wa awali kwamba mtihani wa usaili wa maandishi (Aptitude test) utafanyika Jijini Dodoma, Chuo cha Mipango siku ya tarehe 09.03.2024.

Mambo muhimu ya Kuzingatia

  • Tarehe ya usaili ni tarehe 09.3.2024 siku ya Jumamosi;
  • Mtihani utaanza saa 3:00 asubuhi siku hiyo ya tarehe 09.3.2023 kwa waombaji wote;
  • Majina ya waombaji wote walioitwa kwenye usaili pamoja na eneo la kufanyia mtihani yanapatikana kwenye wavuti ya TAKUKURU www.pccb.go.tz;
  • Kila mwombaji ajaze taarifa zake binafsi kwenye fomu iliyoambatanishwa na orodha ya majina. Fomu pia inapatikana kwenye wavuti ya TAKUKURU www.pccb.go.tz;
  • Fomu ya taarifa binafsi ijazwe kwa umakini na kwa usahihi. Fomu hiyo ni sehemu ya mtihani wa Aptitude test. Mwombaji yeyote atakayejaza vibaya Fomu hiyo atakuwa amepoteza nafasi ya kufaulu kwenye usaili huu;
  • NAFASI 350 za Kazi TAKUKURU PCCB February 2024
  • JINSI ya Kutuma Maombi ya Kazi TAKUKURU February 2024
  • Fomu hiyo iwasilishwe siku ya mtihani tarehe 09.3.2024. Msailiwa ambaye hatawasilisha Fomu hiyo atahesabika kuwa ni miongoni mwa walioshindwa kwenye usaili;
  • Kila msailiwa aandike namba ya mtihani aliyopewa, atakayeandika jina mtihani wake hautasahihishwa;
  • Watakaofaulu kwenye mtihani wa maandishi ndio watakaoitwa kwenye usaili wa mahojiano (oral interview).
MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024, Orodha Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024, Majina ya walioitwa kwenye usaili takukuru march 2024 download Pdf, Majina ya walioitwa kwenye usaili takukuru march 2024.

MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024

MAJINA ya Walioitwa kwenye Usaili TAKUKURU March 2024

DOWNLOAD PDF BELOW

Tangazo la Kuitwa kwenye Mtihani wa Usaili Download PDF

Orodha ya Maafisa Uchunguzi Download PD

Orodha ya Wachunguzi Wasaidizi Donwload PD

Fomu ya Taarifa Muhimu za Mwombaji Download PDF

Imetolewa na;
Mkurugenzi Mkuu,
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa,
1 Mtaa wa TAKUKURU S.L.P. 1291,
41101 DODOMA.

HISTORIA YA TAASISI

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ni Taasisi ya Umma iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya Mwaka 2007.

Sheria hii ilitungwa baada ya kufutwa kwa Sheria ya Kuzuia Rushwa (TAKURU) Sura ya 329 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002.

Kuanzishwa kwa chombo hiki kulikuja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Mswada wa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wa mwaka 2007 mnamo tarehe 16 Aprili, 2007.

Mswada huu ulisainiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Kikwete kuwa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mnamo tarehe 11 Juni, 2007 na ilianza kufanya kazi tarehe 1 Julai, 2007.

PCCB/TAKUKURU Call For Interview 2024, pccb march 2024 kuitwa usaili takukuru, call for written interview TAKUKURU 2024.Majina ya walioitwa kwenye usaili TAKUKURU Machi 2024.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

SHARE THIS POST:

Tags: , ,

Comments are closed.